Wanaitwa ChokaBoys toka Ngaramtoni Arusha, wakiwa ndani ya wimbo "Utainuka"
walomshirikisha Ordinary toka Jambo Squad pamoja na mkali wa dancehall,
Ruff G ikiwa ni mkono toka Noizmekah Studios kwa Defxtro, Ngoma ni
ladha ya Raggaeton mahususi zaidi wa kuparty, pata kuliskiza/Kudownload
HAPA na kwa mawasiliano/mahojiano zaidi check na ChokaBoys kupitia +255 753 842 850 powered by www.vmgafrica.com
-------------
ChokaBoys ft Ordinary & Ruff G-Utainuka http://goo.gl/27FlJX
No comments:
Post a Comment