Bremen,Ujerumani,
Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni wanazidi kudatisha ughaibuni !
Ngoma Africa band inayodumu katika
medani ya muziki kwa muda wa miaka 22 imegeuka kuwa muzimu wa muziki wenye mvuto wa ajabu na mdundo wao wa "Bongo Dansi".
wasikilize at
https://itunes.apple.com/us/ album/mama-kimwaga-sugar-mum/ id947329929
https://itunes.apple.com/us/
unaweza kujumuika nao pia at ngoma4u@gmail.com
No comments:
Post a Comment