Thursday, October 29, 2009

Homa ya Mashabiki 'Mechi ya Watani wa Jadi' Jumamosi hii yaanza kupanda Dar....!

Wapenzi na mashabiki wa Dar es salaam Young African wakiwa makini wakifatilia moja ya kandanda la mechi ya watani wa jadi 'Yanga na Simba' msimu uliopita, mashabiki huwa na homa pamoja na pressure juu ya mechi mpaka pale refa atakapopuliza filimbo ya kumaliza mechi hio.


Mara nyingi zinapokutana timu hasimu za Simba na Yanga vituko na mbwembwe nyingi za kishirikina hutokea, mashabiki hurusha njiwa Uwanjani na mambo mengine km haya unayoyaona kwenye hii picha iliyopigwa wakati wa mechi yao msimu uliopita, ambapo Yanga ilitwaa Ubingwa Tanzania bara. Sasa MDAU hivi hii ni nini? Hirizi Kweli au mikwara tu..!?

No comments:

Post a Comment