Friday, January 8, 2010

Chris Brown ndio basi tena..!

Pop star Rihanna baada ya maswahibu yaliyotokea mwaka wa jana na boy wake Chris Brown, Rihana ameuanza mwaka 2010 na handsome boy Matt Temp mcheza baseball mashuhuri wa L.A





Rihana na Temp wakikumbatiana sehemu ya wazi kabisa ambapo kila paparazi aliweza kushuhudia.



Rihana na boyfriend wake mpya wakitoka El Squid Roe restaurant, ndani ya Cabo San Lucas ktk mtoko wao wa usiku wa january 4




kila la heri 2010





Wow! Rihanna brought in the New Year in Dubai by kissing Matt Kemp, L.A. Dodgers outfielder at midnight!!




ENZI ZAKE AKIWA NA R&B SINGER CHRIS BROWN








No comments:

Post a Comment