Moja ya maandamano ya vijana walioshika mfano wa bunduki na picha ya Raisi wa kwanza wa Zanzibar Abeid Karume wakipita mbele ya marais na viongozi kusherehekea siku hio.
Raisi Amani Karume akikagua gwaride la vikosi vya ulinzi na usalama ktk kuhitimisha sherehe za miaka 46 ya mapinduzi ya Zanzibar leo Gombani Pemba.
No comments:
Post a Comment