Monday, February 15, 2010

Redio Times Fm ilivyo show Love na watoto yatima Karume Stadium siku ya Valentine!

Hiki ni kikundi cha Wanne Stars nacho kiliungana na Radio Times FM kushow luv na watoto wanaoishi katika mazingira magumu, ebwana jamaa ni wakali katika michezo ya utamaduni.



Hawa ni watoto wakishindana kujaza maji katika chupa, ilikuwa burudani sana.





Hapa ilikuwa ni mashindano ya kumpata nani mjanja ambaye atabaki peke yake akiwa ameketi katika kiti, picha ya kwanza kulia ndivyo mchakato ulivyoanza huku picha ya katikati ndiyo mshindi alivyopatikana.




Hapa wafanyakazi wa Radio Times FM wakijiandaa kuingia uwanjani tayari kusakata kandanda na watoto wanaoishi katika mazingira magumu, mwenye Singlend ni mkurugenzi wa Radio TIMES FM naye hakuwa nyuma.



Kaka Amri Massare mzee wa Viwanjani.blogspot akishow luv na BEN TEN






Panapo mkusanyiko wowote hatari inaweza kutokea, hawa ni watu wa msalaba mwekundu walikuwepo bega kwa bega na Redio Times FM kuhakikisha wanatoa huduma ya kwanza.



Ktk kucheza kijana anaitwa Hamisi anayetokea kituo cha kulelea watoto cha Dogo Dogo Center, alishinda shindano la kucheza akiondoka na miondoko ya KIDUKWI.



CEO wa Times Redio Bw. Rehure kulia akiwa na Hermy B ambaye amejiunga na redio hio hivi karibuni




No comments:

Post a Comment