Shindano la Bongo Star Search BSS kwa mwaka huu linatazamiwa kushirikisha washindi wa sessions za miaka minne iliyopita ambao ni kwa mshindi wa kwanza na wa pili kwa madai ya kupewa 'Second chance' ili kuinua upya vipaji vyao kutokana na kufifia ktk soko la muziki la bongo.Tofauti na wadau wengi waliotegemea kuona vipaji vipya vilivyozagaa mitaani vikikosa msaada


Mara nyingi washindi na washiriki Ma-star wa bongo kutoka BSS huwa hawaonekani ktk game ya muziki baada ya mashindano yao kumalizika, wakati wanapokuwa wanaimba copy za miziki ya wasanii wengine husifiwa na kuaminika watakuja kuwa wasanii wakali saaaaana!

Nawatakia kila Lakheri mastar wa BSS labda safari hii wataweza kuonyesha kazi zao nzuri kiasi cha ku-shine kama wenzao wa Tusker project fame
No comments:
Post a Comment