Monday, June 18, 2012

Wakati Mwana-FA anamwomba Mungu amwongezee, CHID Beenz anamwomba Ampokee!!

Chid Beenz
mambo vipi!! hio ni nyimbo yangu nilio release hivi recently nimefanya
na Ben Poul inaitwa NIPOKEE ambayo niliahidi kuitoa soon kwa ajili ya
mashabiki wangu.

 I hope ntapata Support kutoka kwenu. For any
Interview or feedback  you can check me on ma cell: 0784609974.
ukiipata or kama kuna tatizo lolote na hio track just let me know.
la familia. chuuma

Unaweza kuskiza ngoma hii mpya ktk Playlist hapo juu!

No comments:

Post a Comment