Monday, June 17, 2013

New Sound; ON PEAK - Fred Lou

Kwa wanaokumbuka ngoma yao TLST Crew "Fanya fasta" ilorekodiwa Kwa Pfunk Bongo Records bila shaka jina Fred Lou sio geni masikioni na Mc huyu Toka Majerui TLST anadrop ngoma yake mpya kabisa toka pande za Noizmekah,Dude linakwenda kwa jina 'ON PEAK" ikiwa ni Hiphop Joint.Pata Kuisikiliza HAPA na endelea kusupport Muziki wa Tanzania. Powered by www.vmgafrica.com
-------------------------
http://www.hulkshare.com/87omm7a3bwn4

No comments:

Post a Comment